Friday, December 30, 2011

KILA LAKHERI KATIKA KUUKARIBISHA MWAKA 2012

Blog inawatakia wa-Tanzania wote Heri na Fanaka katika kuukaribisha mwaka mpya wa 2012.

Bodi ya Uhasibu nchini yatangaza matokeo

CPA - LIST
17430 ABDU MUSSA
2
15196 ABIA NYANTAMBA
3
17789 ABUTWALIBU M. KILIMBA
4
4152 ADAM EMMANUEL
5
15653 ADOLPH D. NTANGO
6
4309 AHMED ABDALLAH
7
14006 ALBANI W. MWIKOMBE
8
12521 ALEX B. KATUNDU
9
14773 ALFRED RAMADHANI
10
15927 ALLAN A. KATEMANA
11
9925 ALLAN P. NGOWI
12
2156 ALVERA M. KABWOGI
13
15225 AMINA H. NKUHI
14
939 AMINA S. A. AWADH
15
5605 AMIRAM D. LEKEY
16
16875 AMNON MWASAKATILI
17
8857 AMOS R. EDWARD
18
1731 AMOSI M. MAZABA
19
12520 AMULIKE E. KAMWELA
20
17354 ANASTELLA JUVENARY
21
7129 ANGOMWILE FUNGO
22
12727 ANITA J. MNKENI
23
16227 ANITHA L. MUSHOKOLWA
24
9064 ANNA J. MASANJA
25
17395 ANNAGRACE USANGIRA
26
8512 ANNETH KILIAN
27
14682 ANTANAMSU LYATUU
28
12407 APOLINARY RAYMOND
29
15554 ASHERI DAUDI
30
15938 AVITO S. SWAI
31
17423 AZIZI A. MUNISI
32
602 BAHATI L. MASILA
33
12870 BAKARI A. KAPERA
34
17325 BARAKA FREDRICK
35
15828 BEATHA PANTALEO
36
8319 BENEDICT T. BUXAY
37
13955 BENEDICTO KABALA
38
17375 BERNARD G. TESHA
39
6558 BOMA S. BOMA
40
17913 BONAS M. MWASUNGO
41
16907 BONIFACE MICHAEL
42
14770 BRUNO MAYUNGA
43
15842 CHARLES MICHAEL
44
4484 CHARLES E. MKUMBWA
45
6793 CHARLES M. K. MASABO
46
14859 CHIGWIYE CHIPANHA
47
16082 CHRISFORD KOMBA
48
16188 CHRISTINE KINYUNYU
49
17380 CLARA TEMBA
50
3900 CONSOLATA N. MAZIGO
51
13603 COSMAS LUCHAGULA
52
7075 COSMAS J. MAKOLOBELA
53
13809 COSMAS M. MWANALINZE
54
17456 DANIEL AMON
55
14115 DANIEL MSECHU
56
16560 DANIEL J. MWANANFYELE
57
9855 DAVID PETER
58
6250 DEOGRATIUS GERVAS
59
8822 DESDERY CHARLES
60
17910 DISMAS J. MARUNDA
61
17477 DOMINA L. MWITA
62
16645 DOMINIC J. MTIBU
63
17494 DONALD S. KONGWA
64
16836 DONATO W. MAYYO
65
16557 DORIKA J. MWAMTAMBULO
66
12073 EDNA EDMUND
67
17171 EDVINE E. MWAKIBASA
68
11416 EDWARD EMMANUEL
69
7953 EDWARD M. CHARLES
70
16286 ELIAS KINASA
71
17073 ELIAS MATHIAS
72
4316 ELIMBORA M. ABIA
73
15819 ELINIOKOA MACHA
74
14774 ELISI MVILI
75
16849 ELLY MWAIBAKO
76
15559 EMANUEL MARCERY
77
17454 EMANUEL MJEWA
78
17478 EMANUEL MTATIRO
79
15818 EMMANUEL BULOLELO
80
13573 EMMANUEL DICKSON
81
14017 EMMANUEL MAHENGE
82
6269 EMMANUEL SHALUA
83
18360 EMMANUEL SINGILIMO
84
6009 EMMANUEL C. KASHUMBA
85
13713 EMMANUEL F. NYAMUHANGA
86
17318 EPHATA S. MENDA
87
15185 ERASMI EMMANUEL
88
17190 ERICK KAHWA
89
15518 ERICK MSIGWA
90
17868 ESTHER KISANGA
91
14716 EUGENIA NDARO
92
12754 EVELYNE E. KABANTEGA
93
15817 EZEKIEL W. MWEVILA
94
15815 FELISTER MACHANGE
95
8463 FILBERT MUHAMBA
96
17376 FLORIDA KAHATANO
97
13839 FRANCIS SAYO
98
8471 FREDERICK DOMINIC
99
17081 GABRIEL P. TILLYA
100
11932 GABRIEL R. BAHATI
101
16923 GALAWESA MYAVA
102
14446 GASTONE GABRIELY
103
17533 GASTOR H. MTWEVE
104
12608 GEOFREY DANDA
105
17443 GEOFREY ISAACK
106
17486 GEOFREY MWAMAJEMBA
107
18608 GEORGE EDES
108
6431 GEORGE PETRO
109
15939 GLORIA EPHREM
110
16237 GLORIA J. BENDERA
111
4254 GLORY N. KIMARO
112
17396 GODFREY L. KITINDE
113
4801 GODFREY S.A.N. KYABULA
114
17493 GODFREY W. LEKULE
115
6499 GODLISTEN MROSO
116
575 GODNEY E. LAUWO
117
18471 GWAKISA STADI
118
14551 HAMIDU ADRIS
119
7313 HAPPINESS MDIMIDIMI
120
17313 HASHMAN I. KAKIVA
121
16595 HASSAN M. ABDALLA
122
15736 HASSANI HARUNA
123
5871 HAWA A SAID
124
16710 HENRY C. RAYMOND
125
3739 HILD G. EDWARD
126
15133 HONEST J. MBUYA
127
76 HONEST P. MUYA
128
6425 HUMPHREY LEONARD
129
15855 IBRAHIM MDENDEMI
130
13825 IBRAHIM J. KITUNDU
131
17418 IMTIAZ A. DAUD
132
13171 INNOCENT MWAKIBETE
133
16368 INNOCENT MZAVA
134
11824 INNOCENT D. MOSHA
135
7934 ISSA HAMISI
136
17682 JACKSON M. ROGASIAN
137
2262 JACOB S. LAIZER
138
16751 JACQUELINE O. TINGO
139
12418 JAMES MPUTA
140
16717 JAMILI MWALUPINDI
141
15008 JANE MWAZEMBE
142
15677 JANE V. MHANGA
143
15505 JANETH A. UISO
144
16191 JAPHET MAGELANGA
145
13503 JARLATH MUSHASHU
146
17532 JEREMIA I. KILATO
147
16365 JEREMIAH TIMOTHY
148
11381 JOHN DANIEL
149
17772 JOHN KALIST
150
2691 JOHN E. KITOY
151
8651 JOHN X. MINGI
152
12866 JOHNSON E. MINJA
153
13670 JOSEPH DOMINIC
154
16220 JOSEPH JEREMIAH
155
17664 JOSEPH KALOLO
156
5349 JOSEPH L. JORAM
157
17535 JOSEPHINE J. MOSHY
158
9167 JOSHUA L. HABIYE
159
11742 JOYCE MWANGA
160
17491 JULIUS J. MAZOYA
161
17800 JUMA A. ISSA
162
17700 KAMUGISHA A. RWECHUNGURA
163
11389 KAROL PASCHAL
164
15698 KASSIM MOHAMED
165
14244 KHATIBU DIWANI
166
8580 KIMATI A. MEJOOLI
167
14144 KWIZELA NTIBAKAZI
168
17523 LEILA DIWANI
169
17522 LEILA SAHALI
170
17374 LEONARD G. MANG'ERA
171
17481 LEOPOLD LEONARD
172
18359 LUCAS SINKALA
173
18602 LUCIA G. CHUWA
174
17448 LUCY W. IKACHOI
175
17585 LWITIKO G. MWAKAJINGA
176
14019 MALEKERA MAGAI
177
7917 MAMBYA SOSPETER
178
17179 MARCELINE MAPUNDA
179
17631 MARIA E. LUMOLWA
180
11309 MARIAM IDD
181
13674 MARTHA SETEMBO
182
15920 MARTIN MWAKAPALILA
183
1117 MARY M. KITILA
184
15065 MASOUD H. ABDALLAH
185
16147 MATHIAS DEONATUS
186
12420 MATHIAS MAKEJA
187
17459 MATILDA SILLO
188
5384 MATRIDA D. LUGENGE
189
3025 MELISE J. MWALYEMA
190
7709 MELKIORI BALTAZARI
191
829 MESHACK J. A. KINGU
192
16309 METHOD MATHAYO
193
15253 MIKIDADI KILIMA
194
15935 MLANGILA MWIJARUBI
195
12581 MOFATH N. NDELWA
196
8524 MOHAMED S. MTENGA
197
17921 MONICA M. NGOTI
198
9267 MPOSHELEYE HAILE
199
7852 MSAFIRI KIBEBETI
200
12737 MSAFIRI M. ABSOLOM
201
17367 MUSA SOLOMON
202
14706 MUSA WAMBURA
203
16025 NAWAL S. KASSIM
204
13672 NEEMA ROBERT
205
15257 NELICE WILLIAM
206
15872 NJAMA ALLY
207
10007 NKWIMBA A. RICHARD
208
15669 NOBERT MAKONDA
209
13976 NOVATI B. MKUSU
210
17433 NSIA MICHAEL
211
15493 NTIMI E. KASITU
212
17536 OLOF JOHN
213
14507 OMARI MBWAMBO
214
13787 OMEGA LYAKURWA
215
15303 ONESMO MBEKENGA
216
9132 ONESMO R. MWONGA
217
9676 ONESPHORY NESTORY
218
15994 PASCHAL LUSHIKU
219
16353 PAUL KIWERA
220
753 PENDAEL T. OLE-SABAYA
221
14818 PENDO SAGATTI
222
17735 PETER MSAFIRI
223
295 PETER A. LYIMO
224
7524 PETER A. MATHEW
225
17482 PRISILLA W. MUSHI
226
15742 RAHMA Y. KIJINGA
227
13918 RAJAB A. AMASI
228
16881 RAJABU SHABANI
229
15921 REGINA J. MCHUMA
230
8637 REHEMA MAHUNDI
231
3427 RESTITUTA PETER
232
15228 REVOCATUS JUSTINE
233
9977 RHODERICK MUHOCHI
234
17403 RICHARD DONGE
235
13296 RICHARD M. F. JULIUS
236
8699 RICHARD T. KOMBA
237
13120 ROBERT DISMAS
238
7285 ROMAN A. KILUVIA
239
10714 SAKINA F. ESSAJEE
240
18072 SALIMA ALFRED
241
16239 SELEMAN ISSA
242
16107 SELEMAN M. MWAITA
243
4117 SERA S. MASSAWE
244
18472 SETHWINE MPINGWA
245
15854 SHABANI A. MAGALLA
246
15911 SHADRACK MWAMAKULA
247
15497 SILVANI J. MAKOLE
248
12817 SLIVERY KAMILI
249
17750 SOPHIA MBISI
250
17922 SOPHIA A. MASSAWE
251
14110 STEPHEN F.K. MATOJO
252
13986 STEPHEN P. KAHURANANGA
253
15116 SWALEHE KIBWANA
254
18181 TEGEMEA BENSON
255
12973 THERESIA K. TIMOTH
256
16201 THOMAS ENOCK
257
14275 TUKIKO OKINYI
258
17442 UDDY SADICK
259
14029 UPENDO ACKIM
260
15509 VALERIAN TADEI
261
16781 VICENTUS VEDASTO
262
8481 VICKY D. MWAMBOLA
263
13159 VIDAH W.N. MHAGAMA
264
11399 VIVIAN REMEN
265
11771 WILLIARD Y. KALULU
266
17178 WINNINGTON MAKAKA
267
18035 YASSIR S. SALUM
268
18590 ZENA MTONYOLE
Blog inawatakia kila lakheri,katika kulitengeneza taifa linalojali watu na mali asili nyinginezo.

1

Thursday, December 8, 2011

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM) WATWAA UBINGWA WA KIKAPU MASHINDANO YA VYUO VIKUU TANZANIA

                                               Mdau nlipata Fursa ya kulipokea Kombe

Pongezi ziwaendee wachezaji,wanafunzi wote wa UDSM kwa kuwakilisha Vema katika mashindano ya vyuo vikuu Tanzania yaliyofanyika Tanga ambayo yalimalizika juzi.Timu Ya kikapu ambayo iko chini ya senior Captain Abdulkadry Mntambo inapaswa kupewa pongezi kwa jitihada zilizofanywa kwa kuwa na umoja na inapaswa kuigwa.

Sunday, November 27, 2011

University of Dar es salaam Business School -UDSM


                  (Baadhi ya classmates wa UDBS mwaka wa pili waki-pay attention kwa lecture)


University of Dar es salaam Business school (UDBS) is a school of business that seeks to become a world class business school that is responsive to national, regional and global socio-economic developmental needs through innovation, knowledge creation and application.Kwa mpango huo mzima sie kama students of this school let us cooperate and make things happen.Japo kwa kipindi hiki tunapoanza juma la nane mambo ni mengi zaidi....Always lets pray for our Lord God atuwezeshe kufika pale tunapo-wish kufika.

Friday, November 11, 2011

Breaking News; Mlimani Kumechafuka, ni mabomu na risasi zinarindima

Mwandishi wetu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam anaripoti kuzuka kwa vurugu hivi punde katika viunga vya chuo kikuu Dar es salaam. Kiini cha vurugu hizo kinaelezwa kuwa ni ubabe wa serikali kwa kujibu hoja kwa kutumia risasi na mabomu, taarifa zaidi kutoka kwa baadhi ya wanafunzi zinaeleza kuwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wengine wanaitaka serikali kuwapatia haki yao "mikopo" pamoja na fedha za kujikimu lakini cha ajabu si waziri wa elimu Dk Shukuru Kawambwa wala rais Jakaya Kikwete aliyefungua mdomo wake kujibu hoja badala yake wasomi hao wanatishiwa kufungwa midomo kwa nguvu ya risasi na mabomu ambayo yanaendelea kurindima chuoni hapo.
BLOG HII INALAANI VIKALI UBABE HUU NA KUWAPA POLE WANAFUNZI WOTE WANAAONEWA BILA SABABU ZA MSINGI.

A New Collection of Nyerere's Work to be Published Next Week !

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5qRwZPXRiYMudz02ATSBKfQ1XOML1zukksFYrUTK_MG__fqVCZbLWzWZo4IZFcBWpFL4HohEWj9iWmqPXhRrQwkKKq2lTFvWunxQsNQvsNYXoagHNjP4UEWkHWNhinlLB0ZvGdHhJHh8/s400/90638100929850L.gif
Report from Detroit, USA
Twelve years after his death Mwalimu Julius Kambarage Nyerere will be immortalized once again after a new collection of his speeches and other literal works will be published by the foundation bearing his name. On November 16th, 2011 the Mwalimu Nyerere Foundation will release three collections of Nyerere’s works at a gala which will be followed by a public symposium.

The new collection of Nyerere’s works cover the years between 1974 and 1999. The three books will be available at the foundation and at the Oxford Printing Press in Dar-es-Salaam. Other arrangements are being made to have the books available at various bookstores and libraries around the country.

This new collection contains over 120 speeches that the Founding Father Mwalimu Nyerere gave on various national and international issues which were very dear to his heart as a political philosopher, Africa’s senior Statesman, and a humanist of a distinguished caliber. There are three volumes of the new collection which are titled Freedom and Liberation (Uhuru na Ukombozi wa Africa), Freedom, Non-Alignment and South-South Cooperation (Uhuru, Kutofungamana na Ushirikiano wa Nchi za Kusini), and Freedom and A New World Economic Order (Uhuru na Mfumo Mpya wa Uchumi Duniani).

Sunday, November 6, 2011

Haijapata kutokea---- Thomas Nyimbo avunja ngome ya CCM Njombe Aweka Rekodi!

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgORk-dmfO6NnGdrt6dcJbHBl7ZVFVXkvoYosTQnhBJf70GgRsN40yb-NV8AoNFX6lDi-Eyw6tvn-VFBI9XrnpC9UMEtlQ54EJw0b1BVQHMbb-eaG7zVWLpp-kKBXKDdBxmXKeLaFMdg-Y1/s1600/NYIMBO.JPG
PICT0406.JPG‎Picha ya ofisi mpya ya CHADEMA jimbo la Njombe Magharibi
Wote tunajua mambo ya ajabu yaliyofanywa na CCM wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2010 katika Jimbo la Njombe Magharibi. Baada ya kufanyiwa hujuma ndani ya CCM na baadae akigombea kwa Chadema Thomas Nyimbo aliamua kutokwenda mahakamani na badala yake aliamua kukata rufaa kwa wananchi.
Kwa ufupi CCM Njombe Magharibi iko taabani na ushahidi ni ofisi hii ambayo Mh.Nyimbo nbaada ya kufanikiwa kupata wanachama katika Wilaya nzima ya Njombe (Wanging'ombe) sasa amejenga ofisi hii ambayo sijapata kuiona katika Mikoa mingi iliyopiga hatua kimageuzi. Hii ni ofis ya Wilaya mpya ya Wanging'ombe .
Baadhi ya Majibu ya Wadau haya hapa
Yeye alisema yupo tayari kuwa Mlezi wa Chama wa Mkoa mpya wa Njombe so na hataki mkuwa kwenye ngazi yoyote ya maamuzi ila kushikiri kujenga Chama. Mpaka sasa amenunua pikpiki 8 kwa ajili ya uenezi katika Wilaya mpya ya Wanging'ombe na ameshagharimia safari za waenezi walioenda hadi Ludewa na Makete. Huyu Mzee ni mfano wa kuigwa sana

Kwa kweli huyu mzee ni mfano wa kuigwa maana anakijenga chama na hapo hapo analeta maendeleo kwa wananchi tena akiwa nje ya bunge sipati picha kama angekuwa mbunge wananchi wa jimbo hilo wangepata maendeleo makubwa! Miaka 4 siyo mingi kama Mungu akimpa uhai na nguvu.

Nilipita huko Njombe september Mzee Nyimbo amekuwa akifungua matawi kijiji kwa kijiji na kuvunjavunja ngome ya CCM mpaka sasa bendera za CHADEMA zinapepea kila kijiji na ndani ya vitongoji, kikubwa ni wadau kumpa support katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili tusimike wenyeviti wa vitongoji na vijiji wa kutosha ili kusafisha njia ya 2015. Lengo ni kusajili T2015CDM.

Mafisadi CCM lazima wavue gamba;Willison Mukama

http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2011/04/Wilson-Mukama-2.jpg
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilson Mukama, amesema yeye ni sawa na mtu aliyeteuliwa kufanya kazi ya kunyonga mkosaji aliyehukumiwa adhabu hiyo na Mahakama, hivyo hawezi kuogopa kutekeleza hukumu hiyo.

Akifafanua kauli hiyo jana mjini Morogro, Mukama alisema uamuzi wa ngazi za juu wa CCM ukishatolewa kuhusu kuvua gamba watuhumiwa wa ufisadi, hakuna kiongozi atakayepuuza kuutekeleza.

“Ufisadi unasemwa dhahiri na wananchi kwa kuwataja watuhumiwa hadharani wakiwahusisha ana EPA (Akaunti ya Malipo ya Nje ya Benki Kuu), Dowans, ununuzi wa rada na Richmond … na vikao vya chama vimetoa uamuzi.

“Kilichobaki ni utekelezaji tu…na hukumu ikishatolewa na Mahakama hakuna njia nyingine isipokuwa kutekeleza agizo hilo,” alisema Katibu Mkuu huyo alipokuwa akizungumzia madai, kwamba anaogopa kutoa barua za kujivua gamba kwa watuhumiwa wa ufisadi.

Akihutubia mahafali ya wanafunzi wanachama wa CCM wanaomaliza Chuo Kikuu cha Mzumbe Morogoro, Mukama alisema hataogopa kusimamia kikamilifu uamuzi wa chama hicho wa kuwatosa watuhumiwa hao.

Alisema vitendo vyao vimesababisha CCM na Serikali ichafuke mbele ya Watanzania.

Mbali na kuwavua gamba, Mukama alisema CCM pia itashughulikia suala la wafanyabiashara wasio waadilifu wanaojipenyeza ndani ya chama hicho, na itapambana na saratani ya kujilimbikizia madaraka na kukiondoa chama hicho katika utegemezi wa matajiri na wahisani wanaokiweka pabaya.

Alisema, hakuna mwananchi asiyejua kuwa ndani ya CCM wapo viongozi wenye nyadhifa kubwa wanaotuhumiwa kwa ufisadi kuanzia wa EPA, Richmond, Dowans, Rada na kashfa nyingine.

Katibu Mkuu huyo alisisitiza kwamba ili kukisafisha chama hicho mbele ya jamii na kukifanya kikubalike katika uchaguzi wowote, ni lazima watuhumiwa hao watoswe ili kurudisha imani kwa Watanzania.

Mukama alionesha katuni aliyodai imemchora hivi karibuni, akiwa na barua mkononi ikionesha kuwa ameshindwa kutoa uamuzi na kusisitiza kuwa uamuzi huo ni wa chama, hivyo utatekelezwa kama ilivyopangwa.

Awali katika risala ya wanafunzi hao, walitaka viongozi wote wa CCM kujikita kuwaletea maendeleo wananchi, ili baadaye wapimwe kwa kazi zao.

Wanachama hao waliwataka viongozi wahubiri amani badala ya kuendeleza malumbano na vyama vya upinzani na kuwataka watumishi wa Serikali kuachana na siasa wakati wakiwa watumishi wa umma.
Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Ansbert Ngurumo: Muone, kichwa kama CCM

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjs8wny5CiVKPSiBZBLde2ff4-7J8B3crcl7ur2AZxjnUNYPwe98GqaQxCR2XiaGBBJYsOl_rigN8RqJJVetWZnB3n5uyqbb6lkKBBQaIOXXfJjQBZwLA5SUPyOHVMuygeNIJJFhbBJeoTr/s220/Ansi+13.11.2007.bmp
NAWAHUSUDU, na wakati mwingine nawashangaa sana Watanzania wenzangu wanaojipanga kuomba uongozi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hawa ni watu waliojilipua. Wanahitaji nguvu ya ziada.
Maana zama zimebadilika. CCM sasa kimekuwa mzigo mzito usiobebeka kwa kila Mtanzania.
Hata viongozi wa chama, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, wameanza kutambua kwamba kuongoza CCM si jambo la kujivunia tena. Ni changamoto kubwa sana. Ni adhabu!
Wanachama nao wamefika mahali wanaona aibu kujitambulisha kama wana CCM, kwa sababu wanaogopa kuzomewa. Siku hizi, ukitaka kulinda heshima yako, fiche u-CCM wako.
Baadhi ya makada maarufu, wakiwamo wabunge, wamekiri kwangu kwamba katika maeneo mengi ya nchi hii, chama hakiuziki, hakibebeki. Wanasisitiza kwamba tofauti na zamani ambapo chama kilikuwa nyenzo muhimu inayotumika kuwabeba wanasiasa wanaogombea uongozi, sasa hivi imefika mahali ambapo wagombea ndio wanatarajiwa kukibeba chama.
Maana yake ni kwamba ukitaka kugombea uongozi CCM lazima uwe na pesa nyingi za kuhonga wananchi na kununua ushindi, na uwe na uhakika wa kuitumia dola dhidi ya wapinzani wako.
Ni siri iliyo wazi kwamba wabunge wengi wa CCM waliochaguliwa mwaka jana, walipita kwa sababu ya majina yao, na jitihada binafsi; si kwa sifa ya chama.
Baadhi ya wale niliozungumza nao, wamekiri kwamba katika majimbo yao, wao ndio CCM – maana ndio wanaokibeba chama badala ya chama kuwabeba wao. Mmoja wao aliniambia kwamba ingawa yeye ni mbunge wa CCM, ana uhakika kwamba pale jimboni kwake hakuna CCM, bali kuna CHADEMA.
Maana yake ni kwamba wabunge hao wangechaguliwa tu, hata kama wangegombea kupitia chama kingine.
Tafsiri ya haraka ni kwamba iwapo wabunge hao wa CCM wakihama chama leo, wataondoka na wapiga kura wao.
Na hii ndiyo tofauti kubwa ya sasa kati ya CCM na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mbele ya umma.
Kwa asilimia kubwa, chuki ya wananchi dhidi ya CCM imegeuka ushabiki na mapenzi kwa CHADEMA. Pale ambapo kada au mgombea wa CCM anaona aibu kujinadi kwa chama chake, yule wa CHADEMA anajua kuwa asipotumia mwamvuli wa chama kujinadi anakuwa na nafasi ndogo ya kushinda.
Ile jeuri ya wanachama na mashabiki wa CCM kutembea kifua mbele wakiwa wamevaa mashati na fulana na kijani na njano mitaani, imenyauka.
Ndiyo maana kada mmoja wa CCM aliyekuwa mstari wa mbele katika uchaguzi mdogo wa Igunga aliniambia kuwa ilifika mahali wakagundua kwamba kijani chao ni nuksi, kinachukiwa na kitawanyima fursa ya kufanya kampeni kwa amani.
Akasema, “Tuligundua hilo, tukawa hatuvai mashati na fulana za kijani, bali tunavaa kiraia, ndipo tunapata uhuru wa kupita mitaani na kuomba kura nyumba kwa nyumba.”
Hii ndiyo sababu inayowafanya CCM kuandaa mikutano ya hadhara kwa gharama kubwa mno, ikuhusisha kubeba wananchi kwenye malori na mabasi kutoka sehemu za mbali na kuwaleta mahali pa mkutano, tena baada ya kuwaahidi au kuwagawia pesa au fadhila nyinginezo.
Ndiyo maana vijana waendesha pikipiki na daladala hawaendi kwenye mikutano ya CCM kwa hiari. Lazima wahongwe mafuta na kupewa pesa ya kula; wakati vijana hao hao hushindana wao kwa wao kununua mafuta na kujaza matanki ya pikipiki au magari yao kwenda kwenye maandamano na mikutano ya CHADEMA.
Hiii ni sehemu ya maelezo kwa nini CCM hawawezi kushinda bila kutegemea nguvu ya pesa na polisi. Wakati tuliomo ni ule wa chama tawala kuishi kwa kudra za dola, huku upinzani ukikua kwa kasi ya ajabu kwa kudra za nguvu ya umma.
Miaka kadhaa iliyopita, katika maeneo mengi ya nchi hii, ilikuwa aibu na kejeli mtu kujinadi kuwa mpinzani. Sasa hivi ni jambo lisilo la kujivunia mtu kujitambulisha hadharani kuwa ni mwana CCM.
Miaka saba iliyopita, wananchi kadhaa huko vijijini waliwahi kuniambia kuwa mtu anayetamani kugombea uongozi, kama ana nia ya kushinda apitie CCM.
Mwaka huu, wananchi wale wale wamenieleza kwamba kama mtu anataka kushindwa agombee kwa tiketi ya CCM.
Kama ambavyo baadhi yetu tumesema huko nyuma, CCM kinakufa. Hata hiyo idadi ya wanachama wanayotangaza, milioni nne, haipo. Ni propaganda tu za kisiasa.
Ikumbukwe kuwa waasisi wa CCM wanazidi kufa. Wengine wanazeeka. Wengine wamekihama chama. Sehemu kubwa ya idadi ya Watanzania ni vijana. Ni wao wamezaliwa miaka ya harakati za mageuzi ya kisiasa. Wengi wao wamejiunga kwenye vyama vya mageuzi. Sasa hivi hata watoto wadogo wanasalimiana kwa kunyosha vidole viwili, ishara ya ushindi inayotumiwa CHADEMA.
Shule za sekondari na vyuo vya elimu ya kati na ya juu vimejaa wanafunzi wasiokipenda CCM. Katika mazingira haya, CCM kinazidi kukosa mvuto, na wanachama wa CCM wanazidi kupungua.
Kinawapata wapi hao milioni nne? Kama kina wanachama wengi hivyo, mbona hawakubali kuhudhuria mikutano ya CCM bila kubembelezwa na kuhongwa?
Kama CCM kingekuwa na idadi kubwa kiasi hicho, CHADEMA kingepata wapi jeuri ya nguvu ya umma?
Chuki ya wazi dhidi ya CCM inasababishwa na maisha magumu waliyonayo wananchi. Udhaifu wa serikali ndio umekiua CCM, maana kimegeuka chama cha viongozi waongo, wasioaminika.
Mwaka huu, wakati tunatimiza miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika, tunatimiza pia miaka sita ya utawala wa Rais Kikwete.
Ni miaka sita ya shida na umaskini unaosababisha chuki ya wananchi dhidi ya Rais Kikwete. Hatujasahau kwamba mwaka 2005 Kikwete aliomba kura akiahidi maisha bora kwa kila Mtanzania. Yako wapi?
Utafiti uliofanywa na taasisi ya takwimu, ya serikali hii hii, kuhusu mapato binafsi ya kaya, unaonyesha kuwa mwaka huo (2005) Watanzania waliokuwa wanakula mara moja tu kwa siku walikuwa asilimia 34 ya wananchi wote.
Mwaka huu, idadi ya Watanzania wanaobahatisha mlo mmoja tu kwa siku imeongezeka hadi asilimia 41. Maana yake, idadi ya Watanzania wanaoshinda au kulala njaa katika miaka mitano ya Rais Kikwete imeongezeka kwa asilimia saba!
Hawa wana sababu ya kuiamini CCM? Wana sababu ya kuipenda CCM? Wana sababu ya kuiamini serikali ya Rais Kikwete? Wameyaona maisha bora waliyoahidiwa na JK?
Utafiti huo huo unaonyesha kuwa asilimia 42 ya watoto wote wenye miaka mitano katika kipindi hichi hicho wamedumaa. Kama wazazi wao wanakula mara moja tu kwa siku, tena kwa kubahatisha, watoto wao watawezaje kukua vizuri na kupata maisha bora? Wazazi wa watoto hawa waliodumaa wana sababu za kushangilia miaka 50 ya utawala wa CCM na sita ya maisha magumu ya JK?
Taifa la watoto waliodumaa linajivunia miaka 50 ya CCM na sita ya Kikwete? Taifa la namna hii linaona manufaa ya kuongozwa na CCM yenye magamba au isiyo na magamba?
Takwimu hizo hizo za serikali zinaonyesha kuwa katika kipindi kile kile walichoahidiwa maisha bora, asilimia 54 ya Watanzania wote hawali nyama kabisa!
Tutawezaje kujivunia afya na usitawi wa watu wetu kama wanakosa hata virutubisho muhimu kama protini itokanayo na nyama?
Hii ina maana gani kwa taifa linalosemekana kuwa la tatu kwa wingi wa mifugo katika Afrika, ambalo zaidi ya nusu ya watu wake hawali nyama?
Mambo haya na mengine ndiyo yamewafanya baadhi ya watu kuogopa kujitambulisha kuwa wana CCM.
Na sasa nimesikia katika baadhi ya maeneo nchini, CCM imegeuka tusi miongoni mwa vijana. Ukimuudhi mtu siku hizi, akakosa tusi la kistaarabu dhidi yako, atakwambia: “Muone, macho kama CCM!”

UDSM;Assessment by Panel of Experts

http://www.udsm.ac.tz/images/news_story.jpg
As one of the activities that marks the 50 years anniversary of the University of Dar es Salaam an International panel of experts has been appointed to assess it, its programmes and delivery processes against its official mission and goals, and to recommend ways in which University of Dar es Salaam ought to realign itself so as to ensure optimal performance in the changing circumstances of the 21st century. Read more http://www.udsm.ac.tz/