Thursday, December 8, 2011

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM) WATWAA UBINGWA WA KIKAPU MASHINDANO YA VYUO VIKUU TANZANIA

                                               Mdau nlipata Fursa ya kulipokea Kombe

Pongezi ziwaendee wachezaji,wanafunzi wote wa UDSM kwa kuwakilisha Vema katika mashindano ya vyuo vikuu Tanzania yaliyofanyika Tanga ambayo yalimalizika juzi.Timu Ya kikapu ambayo iko chini ya senior Captain Abdulkadry Mntambo inapaswa kupewa pongezi kwa jitihada zilizofanywa kwa kuwa na umoja na inapaswa kuigwa.

No comments:

Post a Comment